Sunday, 15 November 2015
WAMAMA TANZANIA
SIFA ZA WAMAMA WALIOELIMIKA
Wamama walioelimika watakuwa huru na kujiamini
Wamama walioelimika watajua kusoma na kuandika
Wamama walioelimika watapata kazi wanazotaka
Wamama walioelimika watapata nafasi za uongozi
Wamama walioelimika watakuwa na uwezo wa kutunza familia zao
Wamama walioelimika watakuwa watetezi wa haki za binadamu kwa jamii
Wamama walioelimika watajikinga na ukimwi yeye na familia yake
Wamama walioelimika wataelimisha taifa
Wamama walioelimika wataheshimika na jamii
Wamama walioelimika watatafuta taarifa mbalimbali
Wamama walioelimika watakubali kujitokeza katika vikundi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment