UKIMWELIMISHA MWANAMKE UMEIELIMISHA JAMII
Hii ni Blog inayohusu maendeleo ya wamama
Unakaribishwa kutoa maoni yako
KUHUSU TITLE YA FOOD NUTRITION
Ni mbinu za kuhifadhi chakula ili kuzuia njaa
Mwanamke anatakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuhifadhi chakula, ili inapotokea njaa mwanamke asipate njaa, kwani mazao yaliyohifadhiwa yatamsaidia.
Pia mwanamke ajifunze namna ya kuandaa chakula cha familia yake pamoja na wageni wanaomtembelea.
Pamoja na kujua elimu mbalimbali ambazo zinahusiana na kutunza nyumba kwa ujumla pamoja na familia,
mwanamke ana majukumu mengi.
KUPITIA BLOG HII TUTAPEANA UZOEFU
Nipigie kwa simu namba +255-764-311-740
Jina langu ni Regina Qamuhe Gege
Sanu Baray Mbulu
Email reginaqamuhe2015@yahoo.com
au reginaqamuhe84@gmail.com.
No comments:
Post a Comment