Monday, 13 July 2015

REGINA QAMUHE PROFILE BLOG



REGINA QAMUHE PROFILE BLOG

 WOMEN FOOD NUTRITION


Kuhusu Regina Qamuhe Gege Hywaari ni mzaliwa katika kijiji cha Sanu Baray, wilaya ya Mbulu mkoa wa Manyara, zamani ulikuwa mkoa wa Arusha.

Regina Qamuhe Gege Hywaari ni mraia wa kuzaliwa wa nchi ya Tanzania Afrika mashariki.
Pia Regina Qamuhe Gege Hywaari amezaliwa tarehe 17.08.1984 katika wilaya ya Mbulu. Ana ndugu wa kuzaliwa 11 na yeye mwenyewe. Kwa maana ya wanaume 8 na wamama watatu (3). Mama mzazi anaitwa Lusia Akunaay na baba anaitwa Gege Hywaari.
Regina Qamuhe Gege Hywaari anawapenda sana wamama na anapenda kubadilishana nao mawazo.
Anawakaribisha wamama wote kwenye blog huu ili kubadikishana nao mawazo kama sio kupeana uzoefu wa mambo mengi na elimu mbalimbali.
UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU
Sio wamama tu hata wababa mnakaribishwa kwenye blog hii ili kuleta mawazo chanya yanayohusu mambo ya wamama tu.
Tuma maoni yako kwa email hizo hapo chini nami nitayarusha kupitia blog hii baada ya kuyafanyia upembuzi yakinifu; Kama ujumbe wako hautahusu wamama au wanawake hautapata nafasi katika blog hii, ila kwa kibali cha muhasisi wa blog hii ambaye ni Regina Qamuhe Gege Hywaari.
Simu +255-764-311-740
Po Box 103, Mbulu.

No comments:

Post a Comment