Thursday, 6 August 2015
3. HASARA ZIWAPATAZO WAMAMA WALIOKOSA ELIMU
HASARA ZIWAPATAZO WAMAMA WALIOKOSA ELIMU
Wamama waliokosa elimu hawatajua kusoma na kuandika
Wamama waliokosa elimu hawatapata habari sahihi
Wamama waliokosa elimu hawatajua lugha ya taifa
Hawatakuwa huru wanapotaka kujua kitu fulani cha maendeleo
Hawatajua haki zao za msingi
Watakuwa maskini
Hawatapata nafasi ya uongozi
Watakubaliana na mila na desturi zao hata kama zinawakandamiza
Hawataelimishawatoto wao
MWISHO
Wamama wapewe kipaumbele katika nafasi mbalimbali za uongozi ili waweze kupata ubunifu zaidi wa kisayansi na kiteknolojia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment